Huna generator
Kwani jana si ulibakia ya kwanza🤣🤣🤣 Mkuu page ya pili
Pika jingineBiriani limechacha
Simba hatuna wachezaji wa viwangoUngeangalia reaction ya kocha wakati Saidoo, Kibu na Shabalala walipokuwa wanafanya makosa.
Ni wazi kocha amekuta timu haina quality Ila angewavumilia Phiri na Baleke wangemsaidia kuliko Hawa ambao ni wabinafsi, wanashindea kutoa pasi kwa wakati na kufanya maamuzi yasiyo sahihi.
AahaaSiku mbili mfululizo wanajadili Mamelod na Yanga na kusahau kama wanakutana na makamanda kutoka kigoma... Once a Kolo, always a kolo
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa bila penalty hakuna Gori... Naona mzee Saido anajitahidi kujirusharusha eneo la penalty[emoji28][emoji28][emoji2960]
Kikubwa upo hapa jf utajua tukifungaMmmh nipo nasikiliza wimbo wa umaskini huu umaskini huu utaisha lini
Genereta la matajiri
Kikubwa upo hapa jf utajua tukifunga
Linesman bhana usituaibisheGooo Lkn Lenzimani analeta Unoko
Nani huyo?Gooo Lkn Lenzimani analeta Unoko
Sio mtaalamuWeka updates punguza mipasho
NajutaSimba haivutii kabisa kuiangalia[emoji706]
Tatu Malogo FC lazima wapewe penalty, hahaLabda wapate huruma ya refa
NaniLabda wapate huruma ya refa