chama konokono
Senior Member
- Apr 27, 2023
- 103
- 226
HeeHatuna timu mkuu,Simba uongozi ndo shida ikifika wakati wa usajili wanatuletea wachezaji wa buku jero
Mbona hatuwaelewi,mara leo mseme udhamini wa GSM ndio unachangia nyinyi kufanya vibaya leo tena mnasema viongozi wanawaletea wachezaji bomuHatuna timu mkuu,Simba uongozi ndo shida ikifika wakati wa usajili wanatuletea wachezaji wa buku jero
Hata next season kwa uongozi uliopo tusitarajie chochote. Babra alikuwa Kiongozi sahihi, alisimamia misingi ya kazi na kuvunja vijiwe vyote vya wapigaji. Walimpiga vita mwisho wa siku dada wa watu akaona ya nini? Akabwaga manyanga now yamejazana mapanya yanakula kila kilicho mbele!Next season
Na nusuAyubu kipa
Hao ndio madunduka bin mbumbumbuKhaaaa!Juzi tu Kuna mdau kamchambua kiufundi mno Leo kafanya nin tena.
Ndiyo mkuu ndiyo hawa wapo nafasi ya 5 kwa ubora vilabu africa ..Hawa ndio wanaenda kucheza na national al ahly
Kumbe shida sio GSM tena?Hata next season kwa uongozi uliopo tusitarajie chochote. Babra alikuwa Kiongozi sahihi, alisimamia misingi ya kazi na kuvunja vijiwe vyote vya wapigaji. Walimpiga vita mwisho wa siku dada wa watu akaona ya nini? Akabwaga manyanga now yamejazana mapanya yanakula kila kilicho mbele!
Wakati Babra anabwaga manyanga nilisema tutamkumbuka sana maana ndo ilikuwa fursa ya wapigaji kukalia kiti. Walimpiga vita dada wa watu kwa kusimamia weledi kazini now wamabaki wenyewe, gari linajiendea tu!Hatuna timu mkuu,Simba uongozi ndo shida ikifika wakati wa usajili wanatuletea wachezaji wa buku jero
Ina maana utopolo hamtaki kukumbushwa historia yenu ya 6G moja na 5G mbili?Malalamiko FC
Kalpana akiona hii nimekwisha ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
View attachment 2935652
Waseme nini tatizo, hatuwaelewi mkuu, hahaMbona hatuwaelewi,mara leo mseme udhamini wa GSM ndio unachangia nyinyi kufanya vibaya leo tena mnasema viongozi wanawaletea wachezaji bomu
Historian,kichaka cha robo kimekufa kabisa kimebaki hicho cha nambaNdiyo mkuu ndiyo hawa wapo nafasi ya 5 kwa ubora vilabu africa ..
πΈKuangalia game za simba inaitaji moyo kwelikweli
Muangalie kibu.D hapa anapewa pasi ya penetration anashindwa kuanticipate kukimbia kabla maana anauwezo wa kuzidi mbioa mchezaji alienae inapigwa pasi kazubaa pembeniNaangalia pia
Mwiko nyuma unasemaje?Kumbe shida sio GSM tena?