Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Offside ya nyoko!Offside kabisa ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Offside ya nyoko!Offside kabisa ile
Kashtaki kwa mama yako ninayemshindiliaga kitu.Goli la simba offside ya wazi.
Google wanasema mechi saa 10 huku saa moja ...Umeme umekatika....Naitakia Azam ushindi...
Hahahahaaa. LolTulia wewe
Hapana bwana hawa tunawapiga goli 6 bila kuhonga hata sentiPamoja na kwamba sifagilii kuhonga, ila mechi ya leo wanangu ikibidi tuhonge tu, huu msimu wetu huu. Kama tumeamua kufanya ubaya ubwela, wala tusiwe na soni usoni. Ikiwezekana Azam watupe hata goli 6, mbona fuleshi tu.
Tuna maadui wengi sana, tukipata rafiki mmoja tushikamane naye.
😆😆😂😂Mabibi na mabwana, anayeingia sasa kwenye uzi huu ni Greatest Of All Time KibisawalaView attachment 3248142
Hahahaaa. Ujue nimecheka sana. Lol.Mabibi na mabwana, anayeingia sasa kwenye uzi huu ni Greatest Of All Time KibisawalaView attachment 3248142
Sasa ulikuwa na haraka mno. Ungesubiri subiri kwanza.Nnalo basi hapa ndo nimeamini kuwa Mtoto halali na hela. 🤣🤣
Enjoy mtani, hii ndio footballHahahaaa. Ujue nimecheka sana. Lol.
Yeah mpaka sasa naona kabisa Azam anakufa mbili bilaSimba 2 - 0 Azam
Tunza vibokoHii mechi Simba anakufa! Tofauti na hapo nipigeni