Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie tu ulipo mkuu, wapigaji hawakosekani likitokea la kutokea.Hii mechi Simba anakufa! Tofauti na hapo nipigeni
Nipo hapa jf nawasubiri.Tuambie tu ulipo mkuu, wapigaji hawakosekani likitokea la kutokea.
Wee ndivyo mlivyofundishwa shuleniSawa basi leo Simba wanapata clean shit safi kabisa na ushindi mnooooooooooono
Kabisa wachezaji wao ni uozo kwa mfano yule Sillah hamna kitu kabisa hawezi hata kumfikia kibuMchezaji pekee wa Azam fc anayeweza kuanza kwenye kikosi cha simba ni Fei. Hivyo kipondo mtakachopata leo ni halali yenu.
Na bado, hadi mseme iweje mumshangilie aliyewabondaHahahahaaa. Lol
Hizo tano wafungeni tu hao Mashujaa. Kwetu msahau kabisa. Kumbuka jana sio leo, wala leo sio kesho. Usiendelee kutembelea nyota ya jana ndugu.Jichanganyeni tuje tuwashenyente tano tena.
Hapa hupigiki mod watakulinda.Nipo hapa jf nawasubiri.
Hakika Mtani. 🙏Enjoy mtani, hii ndio football
Aisee yametoka wapi yote hayo?!Kashtaki kwa mama yako ninayemshindiliaga kitu.
Leo nalala nazoNnalo basi hapa ndo nimeamini kuwa Mtoto halali na hela. 🤣🤣
Hahahaaaa. Kama we na wenzio mlivyosubiri subiri kidogo ndo mkatinga kwa uzi. 🤣🤣🤣Sasa ulikuwa na haraka mno. Ungesubiri subiri kwanza.
Tatizo mna kamdomo ndiko kanako waponzaHizo tano wafungeni tu hao Mashujaa. Kwetu msahau kabisa. Kumbuka jana sio leo, wala leo sio kesho. Usiendelee kutembelea nyota ya jana ndugu.
Kumekucha😂Goli la simba offside ya wazi.
Msimu huu goli kwa aslimia 90 kafungwa kwa uzembe wa kijinga wa mabeki na DM wake...anatakiwa awe ndava ana kera hamuoni mwenzie Diarra acheki na nyani.Musa Camara naye awe mkali kwa defence ya Simba basi! Kidogo wamchomeshe tena, ila yeye akidaka mpira ni kuanzisha mchezo tena. Mbona Mohammed Mwameja alikuwa anapigaga makofi wajinga wajinga kama hawa?
Nilikuwepo mapema mbona sema sikuwa na kiherehere.Hahahaaaa. Kama we na wenzio mlivyosubiri subiri kidogo ndo mkatinga kwa uzi. 🤣🤣🤣