Dah kudadeki vyura sijui kama watashuka tena *****ππ
, uzuri hatuna shida na kombe kwanza lenyewe baya, pilinwanaolibeba hata hawafiki popote tatu sisi kwa ukubwa wetu hata tukiwa nafasi ya nne tunaenda mbaaaaali kuliko hao vimbele mbele.
Ata akipewa yanga tunajiamini sana tutashinda na kadi zake nyekundUtashangaa dabi anapewa kale kajamaa ka juzi kazee ka matuta na red card zitakazokuja futwa badae
Uto nawaita tena mpooo ?
Hakika mangungu lazima amsomee duaNa hapewi tena mechi π
Kweli ila nimefurahi mama baraka naye lazima nikamsimulie mweeWai magar ya msiba mabibo urudi mwakaleli
Kama nawaona simba leo πHakika mangungu lazima amsomee dua
Acha kabisa mwee leo ni hadithi ambayo haikutegemewaKweli ila nimefurahi mama baraka naye lazima nikamsimulie mwee
Azam ni wasaliti.2059 Hours
Full Time Mpira umekwisha
SIMBA SC 2
AZAM FC 2
Naona mmeanza milioSimba tuna kiwango cha upside down sana
Tabia ya wachezaji kuridhika baada ya kuongoza ishakuwa mazoea.
Makosa mengi eneo la chini na kukosa umakini ndio kitu kinachoenda kutugharimu kwenye safari yetu ya ubingwa.
Kwani Nani kakutuma utwambieeDaaah ntaambia nini watu
Sasa kafanyaje mkuu?kocha fala tu nae