Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Na wamesha vaa sare huko,sasa sijui wamevishana vijora ama makotiSare tu inatosha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wamesha vaa sare huko,sasa sijui wamevishana vijora ama makotiSare tu inatosha kabisa
Umekiona eee😂Cha piliiiiiiii🔥🔥
Kwani Hawa Simba kiporo Chao vipi washakimalizaSimba SC VS Azam FC
| NBC Premier League
| Benjamin Mkapa
| 24 Februari, 2025
| Saa 1:00 Usiku.
Utopolo mkubwa wewe 😂😂Sema chama la wajanja bhna sio uto 😂
Pole Mtani.Ngoja nikalale siku ishakuwa mbaya
Hapana ubora ulikuwepo mchezo wa leo ulikua wa wazi naweza sema katika mechi 5 zilizopita hii ndo mechi simba imecheza mpira ni uzembe tu wa kibinadamu umetugharimu but so far siwadai wachezaji walivuja jasho. Makosa pekee ninayoyaoonani kwa kamara kua bubu hasa kwa mechi kubwa kama hizi.Fair results Simba hatukua kwenye ubora unaostahili kushinda hii mechi
Ndio maana ni starting guy, na wepesi pia wa kufanya maamuziPamoja na kwamba Che malone huwa anachoma bado muhimu sana kwasababu ana kasi na anajua kunusa hatari.
Kunywa maji mengi mremboNdio maana Simba ni timu Bora ukanda huu WA Afrika. Timu inapata upinzani kila mechi huwezi kuwafanisha na wale wenye point 24 uhakika za Umoja WA timu za GSM.
SikupingiSisi mashabiki wa Uto ni wajinga sana yaani zikufungwa timu nyingine na simba tunaumia sisi
Eti jamani🤣🤣🤣Kwani Nani kakutuma utwambiee
😄😄😄
Kaa kimya una point sita zetu wewe tena za magoli mengi sana😁Ndio maana Simba ni timu Bora ukanda huu WA Afrika. Timu inapata upinzani kila mechi huwezi kuwafanisha na wale wenye point 24 uhakika za Umoja WA timu za GSM.
Leo hamjabebwa kwenda uko ukabembee kilelen ufiki tulia chini ukoUtopolo mkubwa wewe 😂😂