Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Milio ya nini mwanetu we subiria tarehe 8 utalia sana tu mwanetu ๐Simba iiko vizuri. Kuchukua points 4 kwa Azam si haba, haikuweza msimu uliopita.
Utopolo hadi ss imechukua points 0 kwa Azam
Tarehe 8 huenda refa akawa Tatu Malogo๐ Ana allergy na bahasha... jiandaeni kwa malalamiko.Milio ya nini mwanetu we subiria tarehe 8 utalia sana tu mwanetu ๐
Ah mwananchi unavimba tuu upo kileleniHata mimi pia
Nikiwa kama shabiki kindakindaki tena lialia wa mbumbumbu efusii, naomba Leo nikiri kwa maandishi yangu kwamba sisi Simba sipoti kilabu ni mchelemchele. Ndio !!,
Namaanisha kuanzia benchi la ufundi , viongozi ,wanachama na mpakaa sisi mashabiki maandazi wa mbumbumbu efusii sote hatuna akili .
sisi ni nimatahira na akili zetu ni sawa na akili za abudala kichwa wazi au mwajuma Tako moja.
Wachezaji wetu tunawasifia sana lakini uwezo wao ni duni , wanapapara utasema wanapigia nyeto bafuni..Mfano mchezaji kama ateba kavimba mwili kama bumunda la jero ila akili kisoda , jitu linakimbia upande upande utasema tembo kajinyea .
Kwa Simba sc hii , Dar Young Africa, the club above all itaendelea kutupapasa na kutupelekea moto mpaka maji tuite mmaa!!
Subiri tar 8 nikugongeUnagongwa na didy
Mbona umepindisha mstari? Halafu umri wote hou bado tu hujajifunza kuandika vizuri? cc: mdau wa elimu LIKUDWale mlionangoli la Simba tuangazie hapa hili GOLI kwangu n offside sijui nyie hukoo
Huyu msaidizi nahisi alikuwa amekunywaaa smart gin kidogo maana Yuko karibu kabisa na akapeta
Mshukuruni sana Mungu WENU haya mambo hayatakuwepo tar 8 MARCH mjue
Msyuuuu ๐ ๐ ๐ ๐๐๐๐
Wewe subiri tucheze kiporo chetu...halafu kwamba nyie ni malaika hamtapoteza ee?? Najua hamtapoteza kwny tawi lenu mwanza kule ijumaa...then?Haya waliosema kwamba yanga anaongoza endapo simba kama hajacheza ,haya tunaassume mechi inayokuja simba mnashinda ,bado kuna gap la point moja ,ndiyo zile hesabu squence and series nilizokuwa namwambia Kalpana ,gap litaongezeka hadi kuwa na michezo miwili mkononi mbele.
Tulikuwepo dogo ake tunaangalia mechi ya kikubwa..mechi ambayo haina mbamba..
Usikimbie tu jukwaa nimetunza risiti mwanetuTarehe 8 huenda refa akawa Tatu Malogo๐ Ana allergy na bahasha... jiandaeni kwa malalamiko.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Egizatiliy. ๐๐Iti iizi vere shemfu for Makolo ๐ฎ