Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Link mkuuMabibi na mabwana, anayeingia sasa kwenye uzi huu ni Greatest Of All Time KibisawalaView attachment 3248142
fawanews.comLink mkuu
Chizi hata aende mbali vipi, lazma atarudi na makopoYaani sio wale walioanza kwa mbwembwe.
Shukrani mkuufawanews.com
Wasipopewa ntaamini arajiga refa😅Simba ni lazima apewe penati...
Simba ni lazima apewe penati...
Simba ni lazima apewe penati...
1/4 final cafcc, hii ndiyo simba inayoenda kucheza na Almasry?
Hii simba inayocheza leo siyo timu ya kutegemea kushinda mechi yoyote.
Inawezekana wanabebwa tu na jina la simba
Pole aisee....maana mnapata tabu kweli kweliMarefa
Yani wakikaziwa na watu kama Jkt ndo utaona jinsi walivyo wabovu
PoleHuwezi amini mm mood sina kabisa na saizi naangalia taarifa ya habari nshazoea mechi za timu daraja la kati na chini
Camara nae anatakiwa kuongea amekua bubu sanaHamza na Karaboue hawana mbio, ni tatizo hasa kwa counter attack za Azam Fc, umakini uongezeke
Halafu tunacheza sana Highline leo watu kama wanakauvivu flani hiviHamza na Karaboue hawana mbio, ni tatizo hasa kwa counter attack za Azam Fc, umakini uongezeke