FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

Ni matokeo mazuri kwa Simba , timu ilikuwa na madhaifu mengi ambayo yalikuwa hayaonekani sababu walikuwa wanapata ushindi.
Mpaka Sasa timu haina muunganiki Kila mchezaji anacheza anavyojua, kocha hawapi nafasi wachezaji wengine amekuwa ni mtu wa kukariri.
Kama watayachukulia kwa mtazamo chanya watasonga mbele Ila Kama watayachukulia kw mtazamo hasi itawakost.
 
Mashabiki wa mpira tabu sana kwahyo mnataka timu kila siku iwe inashinda tu ? Hakuna timu ya hivyo Duniani
 
Makoloo wameyakanyagaa Sasa,wanakwenda kukutana na Yanga wakiwa na wengee lakutosha afu Yanga wamempa confidence hatarii.Watakula vyuma 7 daaaadeki.
 
Hii wanatakiwa Watoe droo; halafu ijayo wafungwe; Hapo ndipo ligi itaanza kuchangamka Rasmi!

Kila la heri coastal union, you are in my prayers!
It worked!
Your God has listened your prayers.
 
Toto limegoma kuingia geto la mnyama.
Kumbe ndio maana makolo jana wamepiga kelele juu ya Pamba ilikuwa ni kutupumbaza tusiongelee wao leo kucheza na toto lao?
 
Simba wanaenda kupoteza point si chini ya Saba kwa mechi 3
Na coastal 2
Na Yanga 3
Na anaefata lazima amkazie 2
Hii ni kwa sababu style of play Yao imeshajulikana Sasa ni kwenda nao ngadu kwa ngadu
Fadlu hali Christmas tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…