Oya kweli?Bao la pili
Ateba anatupia penalty
NdioOya kweli?
OkaySimba wanapata penalty ,mchezaji wa coastal kaunawa mpira eneo la 18
Ni kweli, tulishategemea hiliMaelekezo kutoka juu
Hakikisha unanawa mpira kwenye 18 tupate penati
KwelOya kweli?
Leo kawakaMutale leo kabadilika
Mo ziko nyingi sana.Mohamed Hussein Tshabalala
Mbona malalamiko yameanza mapema sana, nilitegemea Novemba au mbele mbele kule.Maelekezo kutoka juu
Hakikisha unanawa mpira kwenye 18 tupate penati