maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,415
- 3,213
Yanga ni timu kubwa sasa hivi tunacheza kulingana na mahitaji ya mechi.Hiyo tarehe tutakachokifanya kuna mtu ataanza kudai 20bs zake,naamini tunaweza tusicheze mpira mwingi ila watu watakuwa wanashangaa tu mipira impinging wavuniMakoloo wameyakanyagaa Sasa,wanakwenda kukutana na Yanga wakiwa na wengee lakutosha afu Yanga wamempa confidence hatarii.Watakula vyuma 7 daaaadeki.