Kwahivyo simba akitoka moja moja inakuwaje....mgeni hafuzu?Hakuna kitu kama hicho goli la ugenini linatumika pale idadi ya magoli kwa mechi zote 2 yanapolingana
refa mechi imemshinda anaonesha mahabaMechi imeshachafuka waarabu wamepanick
Kimeanza kupwita cha baba na mama yako.Umepaniki ww gasho...naona kinapwitapwita sasa hv
Papatu papata ..Leo tuwaombee tu wanetuSimba hamna timu jamani 😁😁😁
Mechi haijamshinda ameshapokea bahasha yake, Simba hii mipango wanaijuwa.sema kwa mahaba ya huyu refa red inaweza patikana mechi imemshinda
Moja Moja, Simba tunaondoshwa anafuza mgeni.Kwahivyo simba akitoka moja moja inakuwaje....mgeni hafuzu?
Au utapiga matuta hii kitu unanichanganya nieleweshe mkuu