mkuu ukubwa wa mshahara haufanyi timu kuwa kubwaKabla ya kuibeza Tripol, nimekuuliza hapo Yanga Sc (team unayodhani ni kubwa sana kuliko Tripol), mshara wenu mkubwa kwa mchezaji ni bei gani?
wachezaji wenye umri mdg wanalala kama wazee wa miaka 60Ateba alikua offside
Wanasema ilikuwa ni off sideKuna wanaosema goli la 3 halijahesabiwa, ni kweli?
mnapigwaaaaInabidi tuongeze goal
La 3 ilikuwa ni Offside.goli la 3 naskia limekataliwa
refa ana madhaifu mnooo, hii mechi inaisha 2-2hawatakuelewa
nawaona simba wanakimbiana maan matumaini yanapungua 🤣🤣
Mbona hii post #1 hamuifanyii update ?Match Day.
View attachment 3102741
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO
View attachment 3103260
#nguvumoja#
2'
Mpira umeanza hapa Kibu anapoteza mpira wakati anakimbia kufanya mashambulizi.
16'
Mabululu anaipatia Al ahly Tripoli goli la kuongoza.
0-1
Boli lilikuwa Jana leo CHANDIMUUngeendelea na mambo mengine
tuache boli letu