FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Shida mmekariri timu zenye majina makubwa ila sio ubora wa timu, na mwishoni mkaona kama Yanga inawafunga wabovu. Lakini msimu uliofuata Yanga kaendeleza hayo hadi kwenye klabu bingwa kwa kupenya mbele Belouizdad tena kwa kufungwa goli 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…