Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
🤣🤣🤣🤣Sawa....Usinichonganishe na mods please😂
Siku nyingine usiwahi kurudia...Utauponza😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Sawa....Usinichonganishe na mods please😂
Ngoja tuone 🤣😁Ngoja sasa wanarudi kwenye league kuendeleza moto subiri tu utaona.
Liwalo na liwe ikithibitika ni kweli nipewe tu haki yangu.😄😄Hakuna kuganga yajayo. Lazima upewe haki yako
Kwa kikosi gani simba walichonacho hadi nsirudie?🤣🤣🤣🤣Sawa....
Siku nyingine usiwahi kurudia...Utauponza😅
Waaarabu Hawa wamezingua sana yaani sana 😁🤣😁😁😁Vincenzo Jr kakimbia 😀 😀 😀 😀
🤣😁😁😁Liwalo na liwe ikithibitika ni kweli nipewe tu haki yangu.
Poleni sana. Ni kama TIA, no I mean CBE walivyozingua janaWaaarabu Hawa wamezingua sana yaani sana 😁🤣😁😁😁
Nahitaji mniombee, Mungu nipiganie🤣😁😁😁
Alikuwa on form sana leoNipeni like ya Kibu deeeee kibu dengaaaaa
Kabisa ,ubaya ubwela😊Ubaya Ubwela unazidi kushamiri wa kwetu🤣
Asante, uwe na jioni njema.Bora umesema ukweli. Kama shabiki WA Simba nimekupa like😂😂😂
Hicho kilichowatandika bao za kutosha hadi mengine mmeyafanyia hujuma yakatoweka🤣🤣🤣Kwa kikosi gani simba walichonacho hadi nsirudie?
Shida mmekariri timu zenye majina makubwa ila sio ubora wa timu, na mwishoni mkaona kama Yanga inawafunga wabovu. Lakini msimu uliofuata Yanga kaendeleza hayo hadi kwenye klabu bingwa kwa kupenya mbele Belouizdad tena kwa kufungwa goli 4.6 umemfunga nani?
CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.
Yani mnatembelea dusko tu.
Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.
Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)
Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.
Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.
Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.
SanaaaaAlikuwa on form sana leo