rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hilo shirikisho ndio liliwapatia pointi nyingi tofauti na Simba waliopata. Point nyingi kwenye club bingwa.Uzuri kaduguda aliwahi kusema shirikisho wanacheza wanawake, Semaji lenu Ahmed alisema shirikisho wanacheza loosers sasa muamue tuwaite loosers au wanawake,
Caf walishangaa timu mbovu imewrzaje kufika fainali ndio maana wakasema timu ikitolewa club bingwa itokee moja kwa moja.6 umemfunga nani?
CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.
Yani mnatembelea dusko tu.
Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.
Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)
Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.
Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.
Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.
Aibu naona mimiMakolo apigwe kama mwizi. Ubaya uboya ubwela ubwege
Kabla ya hii michuano ya mwaka huu kuanza kirank walibya walikuwa juu.Al ahly tripoli ni ndogo kwa Yanga tena saanaaa.
Sawa na hiyo Man United ukiipanga katika timu kubwa top 5 haiingii.
Man United imebaki kuwa timu tajiri tu ila ukubwa haina tena.
Wameshafanya yaoπ€£π€£
Ila Vimodes navyo vina mbwembwe vinajidai viko complaint na kila kinachofanyika hapa! Mwamba kweli kalambishwa ban!Asante moderators. Haki imetendeka. Tupumnzike ujinga. Watunza risiti Pdidy hakuahidi?
Bahati nzuri simba siyo wageni barani Afrika, kila timu inatujua.Saivi kwenye makundi kila timu inaomba apangiwe nyie haha
Wangetaka refa afungiwe ndio maana Mzee Magoma aliwaita mazezetaingekuwa malalamiko fc lile goli kukataliwa muda huu tusingepumua mapovu kila mahala
Kuonyesha uungwana, hukutakiwa kuedit kiapo chako. Vinginevyo watu watakuwa hawachukulii kwa uzito posts zako, utakuwa kama Pdiddy tu. Kwa upande fulani namsifu Laban maana huwa anatumikia ban zake bila kinyongoRudia kusoma comment yangu vizuri kabisa.
ππππππππ€£π€£Nikiwa Mtanzania mwenye asili ya kiarabu tokea pale Tripoli Libya. Nawaombea ushindi timu yetu Al Ahly Tripoli ushindi. Hao wengine lolote liwakute. Uzuri tutazika hapahapa...
Umejificha wapi muda huu?Makolo apigwe kama mwizi. Ubaya uboya ubwela ubwege
Kanunue kamba kwa Mangi .Sijafurahishwa na haya matokeo.