FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Uzuri kaduguda aliwahi kusema shirikisho wanacheza wanawake, Semaji lenu Ahmed alisema shirikisho wanacheza loosers sasa muamue tuwaite loosers au wanawake,
Hilo shirikisho ndio liliwapatia pointi nyingi tofauti na Simba waliopata. Point nyingi kwenye club bingwa.
 
6 umemfunga nani?

CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.

Yani mnatembelea dusko tu.

Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.

Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)

Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.

Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.

Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.
Caf walishangaa timu mbovu imewrzaje kufika fainali ndio maana wakasema timu ikitolewa club bingwa itokee moja kwa moja.
 
Al ahly tripoli ni ndogo kwa Yanga tena saanaaa.
Sawa na hiyo Man United ukiipanga katika timu kubwa top 5 haiingii.
Man United imebaki kuwa timu tajiri tu ila ukubwa haina tena.
Kabla ya hii michuano ya mwaka huu kuanza kirank walibya walikuwa juu.
 
FB_IMG_17270216391825395.jpg
Kama Unamjua Mtajee
 
Usiku mwema wapendwa..
Tulale na hii
Hapo kwenye hizo timu ongezea Alhal Tripol
Screenshot_20240922-174634_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom