6 umemfunga nani?
CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.
Yani mnatembelea dusko tu.
Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.
Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)
Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.
Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.
Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.