FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Hakuna jinsi
Ubaya ubwela
Wana yanga wote popote mlipo naomba tuungane wote kwa pamoja kuishangilia timu ya

Al ahly Tripoli hii ndio timu yetu kule Libya

Ubaya ubwelaaaaa
 
Mmesusia litimu lenu na Leo mnashinda tukutane jioni nitakuwa natafuta marafiki zangu hawa Jadda uran Kalpana min -me
20240922_143347.jpg
 
Kama Simba itaingia na ile spirit walioingia nayo kwenye mechi ya mwisho vs Yanga, wanaweza wakashinda hii mechi.
 
Ni jambo zuri kuwa mzalendo lakini leo sitaki kuwapa moyo kinafiki watani wangu kwa sababu kitakachowapata nimeshakijua
 
Hizi takataka zilizo omba caf zipangiwe matimu mabovu ili wapite kirahisi wanatuchukia..ndio maana timu yao inawakilishwa na rangi ya mavi (njano ni mavi ya binadamu na kijani mavi ya ndege)

Wana roho mbaya,wachawi na akili zao ni za kimavi mavi na kipuuzi
Nilikua naogopa ban lakini umeniwakilisha kwa uliyoyasema...
 
Karibuni sana watani zetu utopolo wazee nyuma mwiko, muangalie burudani la maana. Sio nyie mnacheza na wafungwa wale wazamiaji tulowakamata katika malori kule mfindi eti nayo.
 
Back
Top Bottom