Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Kesho saa 1 tuwahi kuandamana, hili limeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua wapi, maana hii timu ya Libya ilitakiwa ifungwe 6 kama CBE, sio 3-1 kama hiviSimba wanafeli wapi
Ndiyo tayari, umeshaandika hivyo mtani.Jamani sina cha kuandikaaaaa
Wemsengetu na timulenu bovuThis is simba kumamayo zenu haters wote
mkuu katafte ela ulishe familia achana na maandamanoKesho saa 1 tuwahi kuandamana, hili limeisha
Andika chochote 🤣Jamani sina cha kuandikaaaaa
Mkuu simba hamna kitu, kumbuka huu ushindi wa bahati nasibu huwa haudumuShenziiiii zenyuuuuu wote mlio ia underate simba...
Umeshabadilika. Unakuwa kama yule samaki mwenye jinsia mbili akishindwa kupanda anapandwa. Wewe si ndio ulikuwa unasema Simba mbovu itafungwa na hao wajomba zako waarabuNgoja tar 16 tuje tusambaratishe tena hiki kikundi cha wahuni, maana akili zao fupi kweli maana wanajisahau kwa vitu vidogo mno
Ssa huyu wa kumfunga leo ndo ujione na wew una timu?!!
Tuache kushangilia tuhangaike na makopo?🙄😂😂Gola zuri. What a counter attack. Kilichobaki ni kuanza kuwatupia makopo ya maji kama walivyotufanyia kule kwao.
Tuwapige hata jiwe 1 tu mmoja wao amwage damu. Majinga sana haya maarabu.
Kaubonda utamu wako ama kitu gani?😀😀Mi ni Yanga damu ila leo mtani kaubonda mwingi
Hongereni watani
Lupweko kakimbia 🤣😁😁😁😁😁😁😁
Soma muongozo wa JF, umeeleza wazi nini kitapelekea mtu kupigwa ban. Kuomba sio moja wapo ya vigezo vilivyoainishwa.