FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

6 umemfunga nani?

CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.

Yani mnatembelea dusko tu.

Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.

Mmekuwa mkioangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini.

Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.

Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.

Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.
Wewe piga kelele kama mwendawazimu ila hiyo Simba kwa inavyocheza haifiki popote pale.
Huwenda mkamaliza hata watatu kwenye kundi mtakalopangwa.
 
Kuna mtu yupo bize hapo juu anaibeza yanga……….. watu bn
6 umemfunga nani?

CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.

Yani mnatembelea dusko tu.

Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.

Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)

Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.

Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.

Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.


Huwezii ukawa mzimaa
 
Tunataka kuwaona wakirudi vile vile kama walivyokuja na escort za mabaunsa
 
😂😂dah mds ni jibu zuri sana .mkubwa ana shangilia shirikisho kama kafika fainal kumbe ni group stage asee kama sio nyie
 
Hivyo mtu atakuwa sawa kusema kuwa Man Utd ni team ndogo licha utajiri wake?

Kama jinsi ambayo unajaribu kusema Al Ahly Tripol ni team ndogo SANA kwa Yanga licha ya utajiri wake na ukubwa wake huko Lybia?

Mimi nasema hivi compared to Yanga Sc Al Ahly sio team ndogo sana, wewe nionyeshe huo udogo wake.
Al ahly tripoli ni ndogo kwa Yanga tena saanaaa.
Sawa na hiyo Man United ukiipanga katika timu kubwa top 5 haiingii.
Man United imebaki kuwa timu tajiri tu ila ukubwa haina tena.
 
6 umemfunga nani?

CBE ni chuo sio Club ya mpira labda kama wewe hufuatilii Campus za vyuo vya hapa Bongo vilizopo nje, na pamoja na hivyo bado mkapewa wa first year.

Yani mnatembelea dusko tu.

Msimu wa juzi mkiwa kwenye hii michuano hamkuwahi kupangwa na timu yenye intensity yenye hadhi sawa na Al Tripoli.

Mmekuwa mkipangwa na vitimu vya ajabu ajabu mara Bamako, na wale Wazaramo wa Afrika Kusini walioshuka sraja (jina nimelisahau)

Na ndio maana wakati wenu yaliitwa mashindano ya losers kulingana na washindani ambao walikuwa wanashiriki.

Mpaka CAF wakafikiria kuyafuta.

Almanusra CAF wafute mashindano mazuri kwasababu ya vibonde wachache waliojikusanya kama organization ya Kikoba.
Mbona umepanic sana jomba, maelezo yamekuwa mengi sana. Sawa sisi tumecheza na first year. Nyinyi kucheza na AI hii vipi?
 
Back
Top Bottom