FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Shida mmekariri timu zenye majina makubwa ila sio ubora wa timu, na mwishoni mkaona kama Yanga inawafunga wabovu. Lakini msimu uliofuata Yanga kaendeleza hayo hadi kwenye klabu bingwa kwa kupenya mbele Belouizdad tena kwa kufungwa goli 4.
Timu gani yenye jina dogo iliyokuwa na kiwango kikubwa ambayo mlicheza nayo.

Naomba unijibu hili swali ukiwa na mshipa wa aibu
 
Back
Top Bottom