900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
ile ingeingia angekutoa ugwaduIle ya mabululu ingeingia dah😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ile ingeingia angekutoa ugwaduIle ya mabululu ingeingia dah😀
Wanajisahaulisha...😀😃😄😆Amesajiliwa kwa 4B huyo. Kumbuka Kagoma alitaka 30M tu ikashindikana
Msukule wawatuMakolo apigwe kama mwizi. Ubaya uboya ubwela ubwege
Shirikisho ndo iliwapa point mkapandapanda leo hii unataka kusemaje?Subiri kama mtabaki ya 6 hapo hapo
Tena mkiwa shirikisho.
Kwani mimi nimedharau shirikisho??Shirikisho ndo iliwapa point mkapandapanda leo hii unataka kusemaje?
Tunajua maombi yenu ilikua ni Simba atoke asiende Makundi muanze kumsifia Eng wa mchozo
Ni kichaka gani Mlichofyeka?
Kinachofanya Milembe iitwe hospitali ya vichaa sio jengo ni aina ya watu ambao wana matatizo ya akili.Unawezaje kutaja mbele ya watu wazima eti na mimi nashiriki shirikisho.... ni aibu tupu .
Sifa ni ile ile haibadiliki ni Kombe la watu waliofeli "Futuhi Cup"
We jamaa huwa unakunywa matap tap ama nini!??
Aya lete takwimu zako Yanga bingwa mara ngapi.
Yanga bingwa mara 30 kataa kubali.
Kama una uthibitisho pinga.
Ingemmwaga kichuri kabisaa🤣ile ingeingia angekutoa ugwadu
Kuna figisu mliwafanyia waarabuMara baada ya kula ban...sisi tulikuwa tunataka uweke ahadi ya kutoa mali yako isiyohamishika tu turuke na wewe
Hata ungeileta timu yako juzi ilikuwa inakufa tuKuna figisu mliwafanyia waarabu
Kweli we mgumu. Umerudi jukwaani pamoja na kupigwa ban.Kuna figisu mliwafanyia waarabu
Simba hii Ya wafungaji kina kibu[emoji23][emoji23]Hata ungeileta timu yako juzi ilikuwa inakufa tu
Hapana mkuu Wala sipambani na timu .....Mimi ni mchambuziKweli we mgumu. Umerudi jukwaani pamoja na kupigwa ban.
Hongera na endelea kupambana na Simba hadi utolewe damu.
Nliswekwa ndani mkuUlikua huna bando nn?
All the best
Maombi yenu yamesaidia mkuuIgweee