Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hiyo timu hamuhusu Nchemba,Ihefu ndiyo next SingidaHawa viumbe wa Mwigulu leo wataimba haleluyah..
Na bado mpaka waseme..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo timu hamuhusu Nchemba,Ihefu ndiyo next SingidaHawa viumbe wa Mwigulu leo wataimba haleluyah..
Na bado mpaka waseme..
Anaona aibu tu yule kusema ukweli usimuamini anaogopa kunyooshewa kidole ...Mwigulu kawakimbia
Ukilala mapema utakutana na Mamelod ndotoni
Leo mbumbumbu Masele kapata pa kuangukia hua anajibiringisha balaaUkikutana na jinga kama hili ni kujipigia tuh wallah
Singida Fountain Gate iliitwa hivyo baada ya Singida United ya Mwigulu kuungana na Fountain Gate walio na timu ya wanawake ili Singida apate kibali cha kucheza mechi za CAF, ndio akashiriki shirikisho.Hiyo timu hamuhusu Nchemba,Ihefu ndiyo next Singida
Seti TV yako vizuri kwenye mwanga. Mpira unaonekana vizuri sanaHivi Azam na utajiri wake wote wanashindwa kuweka taa za kutosha tuone vizuri.
Ya nini kujitesa?
Mpira upo live. Magoli mawili. Saidoo kafunga yote.hizi ndo match, saudio anafunga 5 goals. nakuwa mfungaji bora. typical corruption goals
Kama lile la Nzengelihizi ndo match, saudio anafunga 5 goals. nakuwa mfungaji bora. typical corruption goals
Ila goli la kwanza ni Offside kwa Chama kabla ya kupiga crossMpira upo live. Magoli mawili. Saidoo kafunga.
Tulifute.Ila goli la kwanza ni Offside kwa Chama kabla ya kupiga cross
Offside ya wazi kabisaIla goli la kwanza ni Offside kwa Chama kabla ya kupiga cross
Vyura mmeshaanza kunena kwa lugha....Ila goli la kwanza ni Offside kwa Chama kabla ya kupiga cross