Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Kituuu mbili
Safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kituuu mbili
Kama lenu la 5 janaRose Muhando
Kuliko yule aliyepewa goli bila mpira kuvuka mstari?Rose Muhando
Simba inanunulika kwa hela ndogo sana mkuuPrison wanahela gani?
Hakuna kitu apa,singinda hawezi shinda hii,wanazingua sanaSingida mkishindwa kuwafunga leo hao Makolo waliojichokea hamshindi tena
Sasa hivi unatakiwa uwe unaangalia mechi za MamelodiHilo goli la Saido,angekuwa amefunga Yanga,mngesema kipa kapewa bahasha
Mwigulu kawakimbiaHawa viumbe wa Mwigulu leo wataimba haleluyah..
Na bado mpaka waseme..
Wakipata penat zngine mbiliWapigwe mkono
Wadau tupo japo kuna wadau walipata stress baada ya draw ya CAFCL kufanyika, tulikuwa huko sasa tupo hapa.Uzi umesahaulika huu
Waambie tenaaaaSingida mkishindwa kuwafunga leo hao Makolo waliojichokea hamshindi tena
Usisingizie giza, vyuma viwili vimeshawekwa kambani, haya sema na JF hawana taa...Hivi Azam na utajiri wake wote wanashindwa kuweka taa za kutosha tuone vizuri.