Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Hapana. Tunatengeneza furniture zenye kuleta burudani tuuu.Na majeneza unatengeneza??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Tunatengeneza furniture zenye kuleta burudani tuuu.Na majeneza unatengeneza??
Ushauri kama huu na jana uliutoa?Simba waongeze jihad,speed na nguvu.Pia wasajili wachezaji wa maana,timu bado dhaifu.Wasione wanashinda kwa hizi timu zilizojifia wakaona wamemaliza.
bahasha ni mchezo wa nyuma mwiko utopwinyoHawa mabeki wa fountain gate wamesimama kama milingoti kipa naye yupo kama ushahidi tu 😂😂😂 hizi bahasha hizi 🙌🙌🙌
Sawa 😂😁😁😁😁 Cc ephen_Kama kila mechi linaongezeka goli moja, ikifika derby mwezi October si kuna mtu atakufa goli 14?
Tunawajua kabisaWanetu hao wanazingua sana ngoja tufike round ya mwisho hawachelewi kususa
bado haluuanaona muunganiko unakuja kati ya Ahoua na Balua
Mahi njoo selfika kwanza, wewe sio wa kutaka kuangalia la liga muda huu bana 😂😂😂
kama hawana kipa wamsajili yule beki wa vtaloo aliyekunjuka jana what a super saveHUYU KIPA WA SINGIDA HATA MIMI NADAKA ZAIDI YAKE PAMOJA NA KITAMBI CHANGU
tulia nyuma mwiko atakula nyundo soonSimba waongeze jihad,speed na nguvu.Pia wasajili wachezaji wa maana,timu bado dhaifu.Wasione wanashinda kwa hizi timu zilizojifia wakaona wamemaliza.
Mkuu,HUYU KIPA WA SINGIDA HATA MIMI NADAKA ZAIDI YAKE PAMOJA NA KITAMBI CHANGU
Itakuwa unatesekeka sana.Hii ni sawa na kukimbiza kuku mwenye kideli kisha ujisifu kuwa una mbio
Kama nyinyi jana kucheza na watu tisa.Hii ni sawa na kukimbiza kuku mwenye kideli kisha ujisifu kuwa una mbio