Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
- Thread starter
- #21
Ngoja tuoneSimba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneSimba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
AahaaaaMpira sio dua na uhodari wa maombi.
Ingekuwa ni hivyo basi kila fainali zingekuwa zinakutana timu za mapadri na masheikh.
😂😂😂 Kumbe huyu ni kolowizard, leo tutaheshimiana Majini, sorry & excuse me I mean MjiniShukrani Mtani [emoji109]
Simba 0-2 GalaxyFT simba 2 - 0 ukawa
Mtalala na viatu leoHawa leo wamekuja kitandani kwetu 3 - 0 ft
Ushaangushwa tayariSimba leo inacheza na Timu Tatu..
1.Wyda
2.Galaxy
3.Yanga
Kwahyo nguvu zinahitajika..
Wachezaji wasituangushe
Kila la heri Jwaneng Galaxy[emoji881][emoji881]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.
Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki
Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?
Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?
Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.
Welcome for the show