FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

[emoji881][emoji881]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm

Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#

Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.

Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki

Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?

Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?

Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.

Welcome for the show
Kila la heri Jwaneng Galaxy
 
Back
Top Bottom