Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Acha Roho Mbaya mzee wa kimwekumweku. Kumbuka hiyo ni timu ya watanzania wenzetu mkuu. Natamani simba asunder ili kama nchi tuingize timu 2 mkuu.Lolote baya limkute Simba leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha Roho Mbaya mzee wa kimwekumweku. Kumbuka hiyo ni timu ya watanzania wenzetu mkuu. Natamani simba asunder ili kama nchi tuingize timu 2 mkuu.Lolote baya limkute Simba leo.
FafanuaFt 0-1
Weka Kikosi kwa Browser[emoji881][emoji881]𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘[emoji881][emoji881]
[emoji471] #CAFCL
[emoji460]️ Simba SC Vs Jwaneng Galaxy
[emoji414] 02.03.2024
[emoji909] Benjamin Mkapa
[emoji797] 7:00pm
Mungu Ibariki Tanzania!!
Mungu ibariki Simbaa
#WenyeNchi#
Hello [emoji112][emoji112] Tanzania.
Timu ya Wenye Nchi, Simba sports Tanzania hatimaye inaenda kukamilisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo unaanza saa moja kamili usiku masaa ya Afrika mashabiki
Je Simba ataendeleza ubabe wa kandanda safi East Africa?
Je Jwaneng Galaxy atafanya aliyoyafanya 2021?
Nchi ni ile ile, Timu ni zile zile na Uwanja ni ule ule.
Welcome for the show
====== ==
Timu ya Simba inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Jwaneng Galaxy ya Botswana katika mchezo wa mwisho wa Kundi B ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jijini Dar es Salaam, leo Machi 2, 2024.
Ushindi utaifanya Simba ifuzu kuingia Robo Fainali kwa kufikisha pointi 9 hata kama Wydad itashinda dhidi ya ASEC Mimosas (imeshafuzu) na kufikisha pointi 9 pia, Simba ina faida ya kuwa na magoli mengi katika mechi baina ya timu hizo zilipokutana (head-to-head).
Aidha, Jwaneng nayo ina nafasi ya kufuzu, hilo litawezekana ikitokea imeshinda (itafikisha pointi 7) kisha Wydad ikapoteza.
Pamoja na yote ikumbukwe Jwaneng iliwahi kuiondoa Simba katika Raundi ya Pili ya michuano hiyo Msimu wa 2021/22, mchezo wa kwanza Simba ikishinda 2-0, marudio Galaxy ikashinda 3-1.
=========
Welcome for the show
KIKOSI CHA MNYAMA
Nenda sehemu yenye vibe. Huku unajitundika huku unaangalia gameMlioiangalia hii game tumeni matokeo. Tuangalie ama tukalewe tu!
Weka Kikosi kwa Browser
Dua la kukuMbanduliwe huko mtulie
Dakika 19 sio mbaliLeo active hayupo kazini ile badge yake pendwa hajaibandika mapema
Nimejarbu ku upload imexnguaKiweke
Muingize wewe na nani? Hakuna kuoneana huruma hapa,kila mtu ashinde match zake kwa mipango na faida yake. Ft 0-1Acha Roho Mbaya mzee wa kimwekumweku. Kumbuka hiyo ni timu ya watanzania wenzetu mkuu. Natamani simba asunder ili kama nchi tuingize timu 2 mkuu.
Ft 0-1Mlioiangalia hii game tumeni matokeo. Tuangalie ama tukalewe tu!
5imba 0 vs Galaxy 1Fafanua
Nilijua tu Yanga lazima watie mikono yao kwenye hii mechi. Huyo alitakiwa apigwe hadi afe iwe fundishoHawa washenzi walikuwa wanamwagwa dawa uwanjani walizopewa na utopolo kuoe avic town walinzi wa uwanja wakatoa kichapo
Hahaaaaa acha Roho mbaya mkuu.Muingize wewe na nani? Hakuna kuoneana huruma hapa,kila mtu ashinde match zake kwa mipango na faida yake. Ft 0-1
Acha zako wewe5imba 0 vs Galaxy 1
Maisha5imba 0 vs Galaxy 1
Kamati ya roho mbaya ya Uto ni realMuingize wewe na nani? Hakuna kuoneana huruma hapa,kila mtu ashinde match zake kwa mipango na faida yake. Ft 0-1