kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Huyu kocha atafukuzishwa na saidoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza.. kadi?Kanute hata Bench hayupo?
Inawezekana kadi last match alipata njano ya mapemaInashangaza.. kadi?
Umesahau kadi zake?Kanute hata Bench hayupo?
Kama mganga wenu alivyosema avic town?FT 0-0
Akili zenu mmewekeza kwenye ushirikinaHawa washenzi walikuwa wanamwagwa dawa uwanjani walizopewa na utopolo kuoe avic town walinzi wa uwanja wakatoa kichapo
Umesahau wakati mnapigwa kono la nyani asubuhi hadi mchana kulinyesha mvua kubwa sana lakini ilipofika jioni mkala kono la nyani.Kuna vimanyunyu kiasi vimenyesha Leo mchana.
Hii ni dalili ya ushindi Kwa Simba na kuzidiwa nguvu Kwa Yale Majini waliosaidiwa kambi Kule Avic town Kigamboni.
Natamani tukutane wenyewe Kwa wenyewe Nusu fainali.
Dah! Kwangu mimi pengo kubwa hapo.Umesahau kadi zake?
una akili sanaKama mganga wenu alivyosema avic town?
Tunawaombea leo watani zetu ili kama nchi tuingize timu 2. Mungu awasaidie wana Lunyasi.Nani kaanzisha uzi? Mbona kama ni automatike...
KiwekeLeo simba anatinga robo fainali hatimae nusu kwa kikosi hiki cha leo insharaah.