Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nne kweliMmekosea Hapo heading au
Goli ni 4 Mara hii?
Huyo mwisho wa msimu tunamfukuza kwa vibokoHongera Mutale. Kafungua account ya kufunga. Kafungua buster..mwisho wa musimu atamzidi Dube
Kuna watu wamewafunga Wasukuma Jana,Sioni TabuHawa Kilimanjaro wonders(wachaga) Bora wajikite kwenye biashara tu.mpira siyo fani Yao.Tutajionea wonders
Maana halisi ya kikosi kipana..Kocha wenu yuko serious kikos chote iki anawatesa watoto
Akuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofautiKosa la Simba kuwafuga hao jamaa hapo lipo wapi?
Ungekua wew ungampanga nani hapo,maana hao Ndio kikosi cha Pili kasoro Hamza tuu.Kocha wenu yuko serious kikos chote iki anawatesa watoto
Mmeanza..hamkosin sababuAkuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofauti
Hahahaha 🤣Mutale inabidi atumie hii mechi kufukuza pepo mchafu. Naona tayari ana assist moya. Akiondoka na mpira ndiyo nitamuelewa.
Zote sawa kwa kuwa zote hazijawahi kucheza na Simba au Yanga.Akuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofauti
Duh! Yamekuwa hayo tena? Zote zimefika hapa kwa kuwafunga watuAkuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofauti
Kabisa...Duh! Yamekuwa hayo tena? Zote zimefika hapa kwa kuwafunga watu
N A K A Z I AGuvu moya
Hapana bwana wale copco walionyesha namna walivyo kwenye ligi yenye ushindani ya daraja la kwanza na uliona mbinu za kiufundi za kocha wao aliwazuia yanga vizuri sana,,lakini Hawa hapana aiseeZote sawa kwa kuwa zote hazijawahi kucheza na Simba au Yanga.
Hayo Madaraja ni kama CAF ranking tu. Simba kwa kufuata CAF ranking Iko juu ya Yanga lakini walifungwa 5-1 na Yanga.
Kamdomo jana aliona kapataaaMatch Day
Leo, Mnyama Simba SC atakuwa dimba la KMC Complex akicheza na Kilimanjaro Wonders, mechi raundi ya tatu CRDB Bank Federation Cup.
Mnyama amesema mechi hii ni ya kuwapongeza wachezaji wao kwa kutinga robo fainali ya CAF CC.
View attachment 3214580
Hiki hapa kikosi cha Simba SC
View attachment 3214775
Kikosi cha Kilimanjaro Wonders SC
View attachment 3214797
Kipindi cha kwanza kimeanza
1' Simba SC 0-0 Kilimanjaro Wonders SC
1' Goooal Valentino Mashaka anafunga goli
4' Goooal Ladack Chasambi anafunga goli
9' Goooal (OG) - Kilimanjaro Wonders wanajifunga kupitia mchezaji wao Patrick Sebastian
14' Mechi imesimama, golikipa wa Kilimanjaro Wonders anapatiwa matibabu.
15' Mechi inaendelea…
21' Gooal Joshua Mtale
23' Kilimanjaro Wonders wanafanya Sub ya wachezaji wawili
26' Simba Sc - Awesu anatoka baada ya kuumia anaingia Omary Omary
30' Timu zinapata maji (cooling break)
32' Wachezaji wamerejea uwanjani, mechi inaendelea
33' Simba wanapata free-kick nje ya box la Wonders
45' Dakika 3 zimeongezwa kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza
Mpira Mapumziko
HT: SIMBA SC 4-0 KILIMANJARO WONDERS
Kipindi cha pili kimeanza huku Simba wakifanya mabadiliko Edwin Balua na Steven Mukwala wakiingia
45' Simba SC 4-0 Kilimanjaro Wonders
48' Goooal Steven Mukwala anapiga goli la 5