OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hakuna mchezaji pale. Sio kwa Simba tu hana sifa ya kucheza timu yeyote kama mchezaji wa kigeniIla Mutale daah. Yaani kabisa ana vibali vya kufanyia kazi nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mchezaji pale. Sio kwa Simba tu hana sifa ya kucheza timu yeyote kama mchezaji wa kigeniIla Mutale daah. Yaani kabisa ana vibali vya kufanyia kazi nchini
Niko poa,vp bro?Dada yangu vip,unaendeleaje jamani?
Kumbe wana a.k.a na hamsemi🤭Hawa Wakicheza Na Uto wanatoka Droo
Na uraia tumemuombeaIla Mutale daah. Yaani kabisa ana vibali vya kufanyia kazi nchini
Aione ngara23 na Mjukuu wangu To yeyeKuna watu wakisikia "academy" huwaza labda ni watoto wadogo.
Akademi maana yake ni wachezaji chipukizi wanaofundishwa kucheza Mpira kisasa na kitaalam!
Hawa huwezi kuwafananisha na wajumbe wa chama cha ushirika walioamua kujiunga pamoja kuunda timu kucheza Kandanda wakitoka kazini.😀😆😃
March sio mbali
Kwa ivo hakuna mechi zitachezwa mpaka March!?March sio mbali
Unapataje ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu??March sio mbali
Hawa jamaa huwa wanaiwaza simba tuKwa ivo hakuna mechi zitachezwa mpaka March!?
Yanga wana chakujifunza namna ya kucheza kwa hawa madogo
Nyie Jana mlifanya nini Kwa kile kitimu 😅Simba mmepiga bomu mochwari mnajisifia mmeua😀😀
Safi kabisa namshukuru Mungu, afya yako vip?Niko poa,vp bro?
5imba ambayo inacheza shirikishoUnapataje ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu??
Unapata wapi ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu ewe Mzee wa kuishia makundi??5imba ambayo inacheza shirikisho
5imba ambayo nimemfunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Dah mkurugenzi wao alikua anaumwa mda mrefu na kafariki jana😪😪Hivi Alliance wale wa mwanza waliishia wapi.
Hawa madogo wapo vizuri kuliko wale watu wa ushirika wa Jana.
Shirikisho nayo ni mashindano ya kujivunia au ni uchafu tuUnapata wapi ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu ewe Mzee wa kuishia makundi??