FT | Simba SC 6-0 Kilimanjaro Wonders | CRDB Bank Federation Cup | 1.26.2025

Hawa Kilimanjaro wonders(wachaga) Bora wajikite kwenye biashara tu.mpira siyo fani Yao.Tutajionea wonders
 
Reactions: BRN
Akuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofauti
Mmeanza..hamkosin sababu
 
Akuna kosa but msijisifu kwamba mmeifunga timu inayojielewa,,alafu msilinganishe kati ya timu aliyocheza nayo yanga jana na mnayocheza nayo nyie,,ni vitu viwili tofauti
Zote sawa kwa kuwa zote hazijawahi kucheza na Simba au Yanga.

Hayo Madaraja ni kama CAF ranking tu. Simba kwa kufuata CAF ranking Iko juu ya Yanga lakini walifungwa 5-1 na Yanga.
 
Zote sawa kwa kuwa zote hazijawahi kucheza na Simba au Yanga.

Hayo Madaraja ni kama CAF ranking tu. Simba kwa kufuata CAF ranking Iko juu ya Yanga lakini walifungwa 5-1 na Yanga.
Hapana bwana wale copco walionyesha namna walivyo kwenye ligi yenye ushindani ya daraja la kwanza na uliona mbinu za kiufundi za kocha wao aliwazuia yanga vizuri sana,,lakini Hawa hapana aisee
 
Kamdomo jana aliona kapataaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…