FT | Simba SC 6-0 Kilimanjaro Wonders | CRDB Bank Federation Cup | 1.26.2025

Aione ngara23 na Mjukuu wangu To yeye
 
Unapataje ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu??
5imba ambayo inacheza shirikisho
5imba ambayo nimemfunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
 
5imba ambayo inacheza shirikisho
5imba ambayo nimemfunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5
Unapata wapi ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu ewe Mzee wa kuishia makundi??
 
Unapata wapi ujasiri wa kumtishia mwakilishi pekee wa Tanzania aliyebaki kwenye mashindano ya CAF ngazi ya Vilabu ewe Mzee wa kuishia makundi??
Shirikisho nayo ni mashindano ya kujivunia au ni uchafu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…