FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Yaan anahaha had anasahau kuwa team yake leo inacheza na muarabu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kavurugwaa mbayaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kahangaike na horoya wako huko, sisi haituhusuuu.
Yaani sijui kama kalala Toka Jana anahaha tu masikini mpk huruma eti mgomo hakuna magoli ya vile mweee
Kama rahisi na yeye SI akadake hivi sidhani km alikula
Nadhani alibet mkeka umechanika
 
Yaani sijui kama kalala Toka Jana anahaha tu masikini mpk huruma eti mgomo hakuna magoli ya vile mweee
Kama rahisi na yeye SI akadake hivi sidhani km alikula
Nadhani alibet mkeka umechanika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kavurugwaaa had baas, uwiiiih
 
Yaani sijui kama kalala Toka Jana anahaha tu masikini mpk huruma eti mgomo hakuna magoli ya vile mweee
Kama rahisi na yeye SI akadake hivi sidhani km alikula
Nadhani alibet mkeka umechanika
Huyo ni wale jamaa wasiotaka kushindwa najua unajua characteristics zao..sitaki kuzisema humu..
Anapingana na ukweli wenzie wamemuacha adhalilike
 
walihaidiwa na hawaja pewa, mbaya zaidi wakageukwa
horoya wa kumkazia raja kwao aje apigwe 7 na huyu nyau wa kuunga unga hushangai
Sipati picha unavyorusha mate hapo japo unatype πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Wenzako wamekuacha wameona unaenda kuchanganyikiwa muda si mrf...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…