FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Hivi Azizi ki pale utopoloni alisajiliwa kwa shughuli ipi, mbna tuna muona anatema mate tu la maana hakuna ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Badala uwaze match yenu ya kesho, wee unahaha na yasiyokuhusuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Evee una tabu weyeeee, lol
Hainihusu kivipi sasa Horoya inanihusu sana tuuuu, naipenda hii timu tangu enzi za mkoloni😁
 
Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
Hatukufika level hii kwa kupigiwa kura, tumefika kwa wachezaji hao hao ambao kwa mtazamo wako ni wabovu, ndicho kinachonipa jeuri mimi ya kusema nashinda leo tena comfortably na naingia robo fainali.. kitu ambacho kili kushinda wewe na wana utopolo wenzio mapema sana mkaangukia kwenye kombe la waliofeli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuta tafutana baadae.
Utatafutana na nani, mtatafutana wenyewe huko na kikosi chenu hicho cha wastaafu 🤣🤣🤣

Hebu niache mie niendelee kuiombea my fav team HOROYA ✌️✌️✌️
 
Nyie Ndio Mnaojifariji Na Wachezaji Wenu Mizoga Eti Msimu Huu Mtafika Nusu Fainali Ligi Ya Mabingwa [emoji1787]
Al merreikh ya Sudan inaongoza kuwa na kikosi cha bei ghali zaidi kwa timu zote zilizo under the saharan desert, na wametolewa jana hatua ya makundi Cafcl,, kwahiyo never prejudge football, anything can happen..
 
Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
Kwamba Mzamiru ni mbovu kuliko wonderkid Kisinda [emoji1787][emoji1787]
 
Utatafutana na nani, mtatafutana wenyewe huko na kikosi chenu hicho cha wastaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu niache mie niendelee kuiombea my fav team HOROYA [emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Na ndo tunaingia robo final na kikosi hiki cha wastaafu, nyie kikosi cha ajira mpyaa mbna mliondoshwa kwenye michuano hii??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasira za kuondoshwaa pelekeni kwa Al hilal, sisi sio shida zetu hizooo.

Endelea kuomba kwa welediiii, na utafurahishwaaaa.
 
Mnaambiwa msajili wachezaji wa kuwafikisha mbali kimataifa mnaleta watema mate, jitu kuutwa nzima linatema mate tu, amefanya mpaka uwanja umepata fungus, nyasi hazioti tena vizuri,, mwisho wa siku uwanja umefungiwa na Caf..
 
Back
Top Bottom