Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Leo simba ikishindaaa, furahaa ntakayokua nayoo sio ya nchii hii,
Halllah
[emoji881][emoji881][emoji881] [emoji3590][emoji833]
Utanipea simba ikishinda babe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo simba ikishindaaa, furahaa ntakayokua nayoo sio ya nchii hii,
Halllah
[emoji881][emoji881][emoji881] [emoji3590][emoji833]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Azizi ki pale utopoloni alisajiliwa kwa shughuli ipi, mbna tuna muona anatema mate tu la maana hakuna ?
Badala uwaze match yenu ya kesho, wee unahaha na yasiyokuhusuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu ibariki Horoya Ac, ikashinde sawa sawa na mapenzi yako....Amen
Ntakupaaaa yoteee babeeeee, [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Utanipea simba ikishinda babe
Hainihusu kivipi sasa Horoya inanihusu sana tuuuu, naipenda hii timu tangu enzi za mkoloni😁Badala uwaze match yenu ya kesho, wee unahaha na yasiyokuhusuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Evee una tabu weyeeee, lol
Uzalendo kwanza kabla ya mechi, kisha ushabiki wa Simba na Yanga baada ya mechi kuisha (Mashabiki kuombeana mabaya)Sijaelewa unachotaka kumaanisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuta tafutana baadae.Hainihusu kivipi sasa Horoya inanihusu sana tuuuu, naipenda hii timu tangu enzi za mkoloni[emoji16]
Hatukufika level hii kwa kupigiwa kura, tumefika kwa wachezaji hao hao ambao kwa mtazamo wako ni wabovu, ndicho kinachonipa jeuri mimi ya kusema nashinda leo tena comfortably na naingia robo fainali.. kitu ambacho kili kushinda wewe na wana utopolo wenzio mapema sana mkaangukia kwenye kombe la waliofeli.Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
Utatafutana na nani, mtatafutana wenyewe huko na kikosi chenu hicho cha wastaafu 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuta tafutana baadae.
Al merreikh ya Sudan inaongoza kuwa na kikosi cha bei ghali zaidi kwa timu zote zilizo under the saharan desert, na wametolewa jana hatua ya makundi Cafcl,, kwahiyo never prejudge football, anything can happen..Nyie Ndio Mnaojifariji Na Wachezaji Wenu Mizoga Eti Msimu Huu Mtafika Nusu Fainali Ligi Ya Mabingwa [emoji1787]
Kwamba Mzamiru ni mbovu kuliko wonderkid Kisinda [emoji1787][emoji1787]Mimi Nimejisifu Yanga Kuna Wachezaji Wazuri?, Mimi Nakushangaa Wewe Unaesema Eti Kufungwa Nyie Leo Hilo Haliwezekani Wakati Wachezaji Wenu Quality Ya Kawaida Na Wengine Quality Ndogo Kabisa Mmoja Wapo Ni Mzamiru.
Na ndo tunaingia robo final na kikosi hiki cha wastaafu, nyie kikosi cha ajira mpyaa mbna mliondoshwa kwenye michuano hii??Utatafutana na nani, mtatafutana wenyewe huko na kikosi chenu hicho cha wastaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu niache mie niendelee kuiombea my fav team HOROYA [emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Una hakika huwa anapiga mswaki??Jaman hata KIBU hajapiga mswaki tayari Update
Anyway kila la kheri mnyama
Hapa nimeongea kitaalam, na kama mwalimu wa mpira wa miguu mwenye cheti cha awali.Hujataka kutoa povuuu au unaweka akiba ya manenoo??
Mbna km hujiamini shouzzz akeee. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachaaaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa nimeongea kitaalam, na kama mwalimu wa mpira wa miguu mwenye cheti cha awali.
ni kweli, ila nna imani na HoroyaMpira wa miguu ni mchezo wa wazi, na unachezwa kwa dakika 90. Atakayecheza vizuri atashinda. Atakayefanya makosa, ataadhibiwa.
yaani mpaka wewe mkuu umeandika..? basi ushindi ni 100%Nimechungulia vibuyu nimeona Mnyama akitamalaki nyumbani kwa ushindi mnono wa mbili bila