FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba imezidiwa. Imefika golini kwa Yanga mara 2, Yanga kafika mara 8

Halafu Simba ndio inaongoza ligi.

Kila Rais akija kucheki game za Simba huwa wanatobolewa tundu.
Pamoja na kufika golini mara 8 hawajaweza kufunga goli mpaka simba kujifunga

Kweli nimeamini panya wengi hawachimbi shimo
 
Mi nimetoka banda umiza now niko home naskizia earphone tu, ila nahakika hii game simba inakwenda kushinda endapo nidhamu ya wachezaji itarejea

Kwasasa huwezi kupeleka lawama kwa kocha, sometimes unaona kabisa kua wachezaji ndio wanao liwisha. Jaribio la chama linaleta ahueni japo sio formation ya simba kucheza counter attack
Tusubiri mkuu..muda upo,ingawa kuna Ka Hali Fulani hivi kamewakuta wachezaji wa Simba kupaniki kimya kimya

Wanaweza kuwashwa la pili,maana Hadi dakika hii tunakaribia mapumziko hawajacheza chochote cha maana
 
Mi nimetoka banda umiza now niko home naskizia earphone tu, ila nahakika hii game simba inakwenda kushinda endapo nidhamu ya wachezaji itarejea

Kwasasa huwezi kupeleka lawama kwa kocha, sometimes unaona kabisa kua wachezaji ndio wanao liwisha. Jaribio la chama linaleta ahueni japo sio formation ya simba kucheza counter attack
Motivono spika😂😂😂😂

Piiiiiiga hao mikiaaa
 
IMG_2993.png
 
Back
Top Bottom