Pamoja na kufika golini mara 8 hawajaweza kufunga goli mpaka simba kujifungaSimba imezidiwa. Imefika golini kwa Yanga mara 2, Yanga kafika mara 8
Halafu Simba ndio inaongoza ligi.
Kila Rais akija kucheki game za Simba huwa wanatobolewa tundu.
Simba wameamua kuharibu mechi.
Kwamukusudi wanacheza rafu zisizo na maana, yani nikama biff flani hivi..... shenzi hawa.
Nipo hapa....Ngoja tuone....
Usipagawe na urefu ule, hamna kitu paleMoto wa Kisinda unauona lakin?
Tusubiri mkuu..muda upo,ingawa kuna Ka Hali Fulani hivi kamewakuta wachezaji wa Simba kupaniki kimya kimyaMi nimetoka banda umiza now niko home naskizia earphone tu, ila nahakika hii game simba inakwenda kushinda endapo nidhamu ya wachezaji itarejea
Kwasasa huwezi kupeleka lawama kwa kocha, sometimes unaona kabisa kua wachezaji ndio wanao liwisha. Jaribio la chama linaleta ahueni japo sio formation ya simba kucheza counter attack
Unakuwa kama huangalii mpira bhana umeona goli walilojifunga lilipotokeaaa?Pamoja na lufika golin mara 8 hawajaweza kufunga goli mpaka simba kujifunga
Kweli nimeamini panya wengi hawachimbi shimo
Motivono spikaππππMi nimetoka banda umiza now niko home naskizia earphone tu, ila nahakika hii game simba inakwenda kushinda endapo nidhamu ya wachezaji itarejea
Kwasasa huwezi kupeleka lawama kwa kocha, sometimes unaona kabisa kua wachezaji ndio wanao liwisha. Jaribio la chama linaleta ahueni japo sio formation ya simba kucheza counter attack
Nitabaki mpaka mwisho ka steringi kwenye movieMotivono spikaππππ
Piiiiiiga hao mikiaaa
Siangalii ndio kwani hiyo inabadilisha fact kua hatujajifunga?Unakuwa kama huangalii mpira bhana umeona goli walilojifunga lilipotokeaaa?
We tulia tu, hawa kwani wana kawia?Yanga tulieni hapo hapo nasema tena kaeni kwa kutulia ivo ivo