Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Simba wamedominate Zaidi kipindi Hiki
HayakuhusuHahahah wameingilia mlango usio rasmiView attachment 1838937
Dk 45 ni nyingi sanaMwishowe mwamuzi anapuliza kipyenga game over. 🤣🤣🤣🤣
Yesu alisema waonee huruma watoto zako.Nawaonea huruma hawaamini wanachokiona. Tambo wiki nzima
Dar kubwa, kwenu wapi?Daaaaah
Arnold Schwarzenegger tena [emoji28][emoji28][emoji28]Arnold Schwarzenegger hakuliua kirahisi li predator, ilimlazimu aingie hadi kwenye tope na kuishi msituni ambapo alisongwa na majani ya upupu lakini mwisho wa movie star ni star tu
Muwe na heshima, alooh muwe na heshima bana!!!
Hongera mkuu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zote zimepotea hadi mleta uzi
Mavi ya kale hayanuki........Mpira dkk 90, the best Yanga watapata hapa labda wapate goli la pili, lakini goli moja mbele ya Simba bora wakumbuke tu matokeo ya ile mechi iliyopita na goli moja waliloongoza muda mrefu liliishia wapi.
Sawa motivoshono spika....Arnold Schwarzenegger hakuliua kirahisi li predator, ilimlazimu aingie hadi kwenye tope na kuishi msituni ambapo alisongwa na majani ya upupu lakini mwisho wa movie star ni star tu
Kipindi cha pili tunaingia na mkuyati tuone kama atahimiliSimba wamepigwa zongo wewe shtuka!😂😂😂
Simba kachezea koki,,, kalowakunani hapo jamani?
Hawa ndo wachafua shereheHawa maraisi wasiwe wanakuja kwny fainal za Simba na Yanga
Huyu mzee nuxMzee Mpili ametabili 2_0
Angalia idadi ya Nazi hapo miguuni[emoji38][emoji38][emoji38] View attachment 1838997
😂 😂 😂 😂 😂Kipindi cha pili tunaingia na mkuyati tuone kama atahimili