Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Apige nani sasa kwa staili hii ya kujifunga?Sawa motivoshono spika....
Ila nasema hiviiiiiii.......
Piiiiiiiga hao mikia...
Labda tujipige wenyewe afu mtangazwe nyinyi ushindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apige nani sasa kwa staili hii ya kujifunga?Sawa motivoshono spika....
Ila nasema hiviiiiiii.......
Piiiiiiiga hao mikia...
Sawa ila msikimbie tu hukawii kula kona wewe😂Doooh!! Mnajuaga kujipa moyo.
Hata ile first round mlisemaga hivi mkapa kuchomoa ni 85mn. 🤣
Nipo aisee, usikimbiePole Mtani.
Umemisika hivi upo?
Mkuu niamini mimiArnold Schwarzenegger tena [emoji28][emoji28][emoji28]
Haya Mtani.Dk 45 ni nyingi sana
Mlimbwende vipi, mzee mpili kashatufixia nazi bwege yule 😄kunani hapo jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar kubwa, kwenu wapi?
Leo mizungu inakutoka tu.Arnold Schwarzenegger hakuliua kirahisi li predator, ilimlazimu aingie hadi kwenye tope na kuishi msituni ambapo alisongwa na majani ya upupu lakini mwisho wa movie star ni star tu
Dah mama leo sijui kama tutatoboaHaya Mtani.
daaa pamoja Sana mkuu wangu Ile Leo tukiacha ushabiki yanga wanacheza Mpira mzuri tatizo sisi hua tunaingia na matokeo uwanjani kitu inayotukost ila amini nzi akiacha ujinga atazalisha asali!Ndio mzee baba.
Siunajua Azam wametufikia mpaka huku,.... Hapa niko Nanhupo,,, wa Tanzania tumejazana kama wote
Ukiwa mbali na TV unataka kuitazama online tumia Pure Entertainment app ni free kabisa get it here from Play Store Pure Entertainment - Apps on Google PlayTupo angola
Ukiwa mbali na TV unataka kuitazama online tumia Pure Entertainment app ni free kabisa get it here from Play Store Pure Entertainment - Apps on Google PlayEbu attach ata moja.
morrison sio mchezaji wa kuanza kipindi cha 1,. Kocha amefanya kosa kubwa la kiufundi kwa kumuanzisha morissonAisee Simba wanafeli wapi Leo?
Huenda kwani ya Mungu ni mengi pia Baba.Dah mama leo sijui kama tutatoboa