FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Mpira dkk 90, the best Yanga watapata hapa labda wapate goli la pili, lakini goli moja mbele ya Simba bora wakumbuke tu matokeo ya ile mechi iliyopita na goli moja waliloongoza muda mrefu liliishia wapi.
Mavi ya kale hayanuki........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…