Mbona scoreboard inasoma goli ni la Yanga?
Jitulize mkuu ni mpira tu huu.
Kwani tuliwaambiaje? Tuliwaambia nyie njoeni uwanjani ushindi wetu mtapewa nyinyiMbona scoreboard inasoma goli ni la Yanga?
Jitulize mkuu ni mpira tu huu.
Tatizo wameaminishwa hovyo na Manara. -π€£Mpe leso huyo afute machozi.....
Wakikomboa ndo utaona walivyoffurugwa.Wana hasira hawaπππππ
Kwani tuliwaambiaje? Tuliwaambia nyie njoeni uwanjani ushindi wetu mtapewa nyinyi
Tunafunga sisi ushindi mnapewa nyinyi
π€£π€£Mbwa ukimjua jina hakusumbui
Wamelishwa matango pori, machunguuuuu....ila hakuna namna... wakae kwa kutuliaππππTatizo wameaminishwa hovyo na Manara. -π€£
Kabisaaaa. Waliambiwa wanashinda kuanzia tatu sasa hapa wameshapagawa. π€£π€£π€£Wamelishwa matango pori, machunguuuuu....ila hakuna namna... wakae kwa kutuliaππππ
Mbona unatoa macho kama kabudi, vipi, huamini unachokiona au...!?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Amekamia gameHuyu Morrison mbona hatoi pasi.?