Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baa wewe mkuu.Vaa pampasi mkuuu
Talk to your neighbour, mwambie chenga mbili asijione top juu ya neymar
Vaa wewe nkuuVaa pampasi mkuuu
Itakuwa hivyo mtandao si mzuri.Basi burdaani hatari.
Nawapigia simu ndugu zangu ila naona hawapatikani. Nafikiri mtandao si mzuri!!!
Kumekucha achana na hizi ndoto za asubuhi.Mpira dkk 90, the best Yanga watapata hapa labda wapate goli la pili, lakini goli moja mbele ya Simba bora wakumbuke tu matokeo ya ile mechi iliyopita na goli moja waliloongoza muda mrefu liliishia wapi.
MO amepigwa sisi wanasimba bado tupo
Una akili sana wewe mikia wangepigwa 3 kabisaaNaona roho inakuuma sana, mimi namlaumu kocha wa Yanga kwa kudefend sana, Yanga walikuwa wanapiga kuanzia 3.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Zile 4 kumbuka kuna wachezaji walishasaini kwenu wakahujumu mechi au nikukumbushe mmojawapo ni morison .uliza wenzio usije na kiherehere hapa.Hata siku ile mlipotufunga moja tuliwavumilia kauli zenu kama hizi lakini tulipo wachapa 4 tulikua tumewapiga SOLEX mdomoni
Bocco
Mugalu
Kagere
Wawa
Onyango
Hawa tuachane nao msimu ujao