FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Talk to your neighbour, mwambie chenga mbili asijione top juu ya neymar
 
Talk to your neighbour, mwambie chenga mbili asijione top juu ya neymar
IMG-20210703-WA0030.jpg
 
Wazee wa kikosi kipana , daah...
Hii inanikumbusha jana
Belgium Vs Italy

Note; tusitoke na matokeo nje ya uwanja..
 
Mpira dkk 90, the best Yanga watapata hapa labda wapate goli la pili, lakini goli moja mbele ya Simba bora wakumbuke tu matokeo ya ile mechi iliyopita na goli moja waliloongoza muda mrefu liliishia wapi.
Kumekucha achana na hizi ndoto za asubuhi.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hata siku ile mlipotufunga moja tuliwavumilia kauli zenu kama hizi lakini tulipo wachapa 4 tulikua tumewapiga SOLEX mdomoni
Zile 4 kumbuka kuna wachezaji walishasaini kwenu wakahujumu mechi au nikukumbushe mmojawapo ni morison .uliza wenzio usije na kiherehere hapa.
 
Back
Top Bottom