Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hahhaha najiuliza sana au umejifungia jikoniHahahaaaa. Lol
Leo nina nafasi Dada. [emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaha najiuliza sana au umejifungia jikoniHahahaaaa. Lol
Leo nina nafasi Dada. [emoji120][emoji120]
😂😂😂😂😂Hahhaha najiuliza sana au umejifungia jikoni
Dada nmejikuta naikumbuka miaka ile ya umbea. 😂😂😂😂 Tulijua sana kuandikia jikoni. 😂😂😂Hahhaha najiuliza sana au umejifungia jikoni
Ana maneno sana yule acha azimie hata akizimia mara 100 sawa tu!Manara amezimia mara nane
Huyu bata mzinga awe na heshima anapoitaja Yanga.
Ndiyo aliwajaza mashabiki wa simba ujeuri matokeo yake wamegongwa kwenye mshono leo 😂Ana maneno sana yule acha azimie hata akizimia mara 100 sawa tu!
Yale maduka ya kuuza mechi tulishayaondoa yote, Kigoma huko ndio tunaenda na "mfumo" wa JKT Ruvu - "papasa square"Utasemaje hakuna timu na kombe tunachukua na robo tumefika?
Nyie tulieni sisi tukianza hua tunaaanzia 4 na kuendelea
[emoji1][emoji1] kazi wanayo,Naona hata kombe kwa sasa hwana hamu nalo,
Naam naam naam usiku wa deni haukawi kucha naam siku ya kifo cha utopolo hatimae imefika, tunaomba mbaki hapa kwenye huu uzi kwa matokeo yoyote msikimbie au kusubiri mshinde ndo mje tuwe wote hapa hapa kwa do zote 90
Dude kama dude limeanguka chiniFirst half tumesaminisha kwanza, sekandi hafu tunaoa kabisa
View attachment 1839009
Yanga ilimtoa mbali kiweni huko na kumpa ulaji mpaka mkamuona hawezi leta madharaHuyu Morrison mbona hatoi pasi.?
Mkuu naona ulikuwa umelala amka toka huko usingizi.Haya kumekucha amkeni,,amkeni ,,amkeni.
Mshana Jr
Utopologist
Dam55
Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Simba 4 Vs 0 Utopolo.
Simba nguvu moja.