FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Aliyekimbia tarehe 8 amefungwa Leo na ameacha kelele rasmi

Marehemu alikuwa na mdomo Sana na mkumbusheni tu apande treni mapema tukamkute Kigoma mwisho wa reli tufanye yetu

#Sisiniyoungafrcans[emoji617]
 
"Tumefungwa kwa sababu alikuwepo mh rais "pumbavu kwa akili hizi ndio mliaminishana mtacheza fainali ya kilabu bingwa? alisikika mlevi mmoja akisema.
 
Mikia FC hivi mara ya mwisho kushinda mechi ya league ilikuwa mwaka gani aisee?
 
Back
Top Bottom