FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

Gentle yukwapi maana yule kwenye ku predict hasa kwenye izi dabi yupo vizuri
 
Simba Leo tumelogea kilinge Cha msata
Leo ndio Leo mtavuliwa kyupi jioni ya Leo Kwa maandalizi ya tendo la kufanyiwa masaji hapo hapo Mkapa SPA huku watu wakiwachabo Kwa mbaliiiiiii toka huku mkoani kupitia
Tv chogo ya mama Nshomile live !

Mafuta ya masaji yenye harufu nzuri ya Markham murua toka Oman kupitia Zanzibar yamenunuliwa Kwa machinga mtaa wa msimbazi pale baada ya hapo Katerero inawahusu Leo dadeq zenu!
😂😂😂😂😂🔥
 
Yaani Utopolo mnakeketwa hamtaamini
 
Utopolo haoo.. Wanaenda kuchukua haki yao...SIMBA 3 YANGA1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…