nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
KwishaaaaaaaNaaaaam mnya mwenye njaa anataka ubingwa utopolo mlizani tar 3 mbali ? Mwenyekiti wangu mwamba Mbowe kwa hili tusameheane mnyama piga Utopolo 3 0 Zero natosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwishaaaaaaaNaaaaam mnya mwenye njaa anataka ubingwa utopolo mlizani tar 3 mbali ? Mwenyekiti wangu mwamba Mbowe kwa hili tusameheane mnyama piga Utopolo 3 0 Zero natosha
Huyo kabakia na ndevu tu, mpira ulishaishaNawasalimu kwa jina la BM3
Wote na mjibu #KeroIendelee...!!!
View attachment 1838890
View attachment 1838888
Kwani yule anayejiita msemaji sijui wa Nini anasemaje?!?! Eti Yanga imeokoteza wachezaji???!! Hicho ndicho kilichoiua mikiaKwani Morrison alikuwepo uwanjani wajamenii[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyau uliyechangamka wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Kila la Kheri Mnyama Mkali Mwituni
Timu kubwa na Bora Afrika yenye kusakata kabumbu lenye viwango vilivyothibitishwa na CAF
Mkuu ww komali hii👇Basi kwa goli 4 watoto wanabidi wawe 48
Kinachokufanya ujione special?
#TunatakaKatibampya#
Nashangaaaaaa[emoji16][emoji16]Hawa simba robo fainali caf wanafikaje? Mbona kama mwadui tu
Sema tenaMiquissone (Insigne) Chama (Barella) Lwanga (Verrati)
Simba 4 utopolo 0
Hata na mie nashangaa. 😂😂😂Hawa simba robo fainali caf wanafikaje? Mbona kama mwadui tu
Mauya kafunga pacha ake hatunywi sumu hatujinyongiAnafunga duka au mlango?
Kisa kufungwa leo?Bocco
Mugalu
Kagere
Wawa
Onyango
Hawa tuachane nao msimu ujao
Naona mmepigwa dudu mpaka mmelegeaKile kikosi cha Simba kinatisha, Yanga anaenda kuchezea dudu
Mmevishwa ninyi leoUtopolo Leo tunawavalisha pempasi, tunawaogesha,tunawapaka mafuta,tunawapakata
Taratibuuuuuuu tunawapa mambo matamu
Waaaaaaaaaaaaaaa!
Pole sana hatimaye mmekimbia na goli lenuAfu Jambo lingine... Basi la Utopolo likiingia tu uwanjani Tunaomba Mageti Yafungwe.....Ikiwezekana Suka Anyang'anywe Funguo...! Leo hakuna Kukimbia.
Na badooo[emoji3][emoji3] alafu et ooooh wametupa ushindii shwaiiiin kabisaKwani yule anayejiita msemaji sijui wa Nini anasemaje?!?! Eti Yanga imeokoteza wachezaji???!! Hicho ndicho kilichoiua mikia
?
Kudadadeki, wametupiga kimoja cha nguruwe watoto 12, sie tumebaki na ball possession tu za mchezo! 🤣
Wamefanya nini...Bocco
Mugalu
Kagere
Wawa
Onyango
Hawa tuachane nao msimu ujao
[emoji23][emoji23][emoji23]maskini ya Mungu, poleeeeUtopolo wana kesi ya kujibu, nasikia yule Jamaa ni dereva wa Ambulance pale Muhimbili.
Kweli ngoja tuvute subiri akiingia Mugalu dk ya 105 anafungaNnavyojua simba tunashinda 2-1