Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamkufunga
Acheni kumpakazia mh Raisi, Simba ni hakuna timu.Gundu lilianza baada ya Rais kuja uwanjani..Simba tuna gundu Sana na hiki cheo
Simba wamelogwa wewe sio kawaida yanga mtaji wao sikuzote ni waganga tuSis simba ni timu kubwa lakin tuna use.nge mkubwa mnoo
Naona roho inakuuma sana, mimi namlaumu kocha wa Yanga kwa kudefend sana, Yanga walikuwa wanapiga kuanzia 3.Maiti kafufuka kang'ang'ania mkono wa muoshaji,Yanga ni maiti tu hata wakishinda.
Hata siku ile mlipotufunga moja tuliwavumilia kauli zenu kama hizi lakini tulipo wachapa 4 tulikua tumewapiga SOLEX mdomonikilasiku mnasogeza siku mbele majuzi tu mlikuwa mnasema tusubiri tarehe 3 leo tena mnaanza tusubiri kigoma hahahaha mkubali mpira sio makelele.....na mkubali mnateem ya kawaida sana na wala hamna maajabu yoyote.
😀 😀 😀 😀jinsi Manara alivyoniaminisha kuwa tunawapiga za kuotosha tena mwingiKichwa chini miguu juu
imara waahHongera utopolo
mepewa wao kama Sarah au sarat alivyopata mimba ya uzeeni na kumzaa Isaka au isiakaMzee lakini anaweza kukupa mimba ukikaa vibaya
Inaisaidia yanga
Hao huwa wanafufuka mechi za Mtibwa na KMCYanga wameloga sana hii mechi,yani Simba yangu Chama,Merqueson,Morison,Lwanga hawa woote wamepoteana.
Unajifedhehesha ushavuliwa nguo chagua kuchutama au kubong'oaInaisaidia yanga
Basi burdaani hatari.Mida hii tushakula biriani kesho pilau tu. 😂😂😂
Utasemaje hakuna timu na kombe tunachukua na robo tumefika?Wewe siyo mzima, leo umeshindwa Kigoma mtafanya kipi,? tuliwaambia Simba hakuna timu mkawa mnabisha, mara oohh kwa Mkapa hatoki mtu, sasa Yanga wametoboa tundu.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app