Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balala march tough ni uchochoro asajiliwe mbadalaBocco
Mugalu
Kagere
Wawa
Onyango
Hawa tuachane nao msimu ujao
Tar 25 sio mbaliMupunguze kutudharau sasa.
Endeleeni kushangaaHata na mie nashangaa. 😂😂😂
Mwaka wa pili hamjawahi kutufunga kwenye vpl sana sana uwa mnaishia kushangilia droo kama mlivyokua mnaombea hii leo,vibonde wetu jan tuliwafunga kule zenj mkasema ilikua mikia b,leo tumewapiga mkiwa kamili pambavuKunguni kumnyea mtu sio shabaha
Jamani hizi comment zimeandikwa kabla ya uzi kuandikwa na kutungwa?Sasa leo kibao kinawageukia mkipiga kimoko vidume tunawamiminia vitatu
Leo wachezaji wa timu zote 2 walipimwa na vyumba vya kubadilishia vilipimwa,janja yao kushneyHata na mie nashangaa. 😂😂😂
Jipe moyo tu mkuu,hamna timu mle ukiondoa janja janja za nje ya uwanjaSimba wamelogwa wewe sio kawaida yanga mtaji wao sikuzote ni waganga tu
Washamba wa mitandao hao.Muache matusi. Hapa utani na unazi tu!
Yule ndio anayewaaminisha ujinga kiasi wakifungwa wanakua vituko,jamaa leo hapa jf anatukana kila mtu huko mtaani sijui yuko kwenye hali gani!Wala usichukie ndio walivo si unaona msemaji wao anavotukana waandishi kila siku
Huwa tunawaambia bila janja janja hawatufungi hawa.Leo wachezaji wa timu zote 2 walipimwa na vyumba vya kubadilishia vilipimwa,janja yao kushney